Tuesday, December 3, 2013

BACK ON AIR

Baada ya kimya kingi cha takribani miezi minne...blog yetu tuipendayo ya Katavi up to date inakuja tena kwa lengo lilelile la kukuhabarisha masuapa mbalimbali kuhusu mkoa wa katavi na duniani kwa ujumla....naamini msomaji utaifurahia blog hii na kuiona ya manufaa.....Aidha,  katika kuboresha upashanaji na upatikanaj habar basi mtu yeyote anayeweza kushiriki kutupia habari humu anakaribishwa...nitumie email adress yako katika nyambalatheman@gmail.com au katika nyambalamartin@yahoo.com...NYOTE MNAKARIBISHWA NA KATAVI NA TANZANIA NI YETU SOTE.


Posted via Blogaway

No comments:

Post a Comment