Friday, December 27, 2013

Wimbo kutoka Mpanda Katavi

I like 4shared file "Lwinga Dume Ft. Ran P - Tazama.mp3" - http://www.4shared.com/mp3/45dA2woU/Lwinga_Dume_Ft_Ran_P_-_Tazama.html


Posted via Blogaway

Sunday, December 8, 2013

DR. SLAA APOPOLEWA MAWE KASURU KIGOMA

Katika hali ya kushangaza wanaojiita wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamemrushia Mawe Katibu Mkuu wa Chama hicho wakati akihutubia mkutano wa chama mjini Kasuru.
Vijana hao wapatao kumi na tano waliokuwa na mabango yenye mbalimbali kama vile "Zit to kwanza Chadema baadae" walianza kumrushia mawe hali iliyopelekea askari Polisi kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) kumnusuru na kumficha sehemu ambayo mpaka tunakwenda mitamboni haikujulikana alipo.
Aidha polisi walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanya furugu hao hali iliyopelekea mkutano kuvunjika.
Katavi Up To Date inaendelea KufAnya utafiti wa chanzo cha vurugu hizo na wahusika wake...itaendelea kuwajuza kadri taarifa zitakavyokuwa zinapatika.


Posted via Blogaway

Tuesday, December 3, 2013

BACK ON AIR

Baada ya kimya kingi cha takribani miezi minne...blog yetu tuipendayo ya Katavi up to date inakuja tena kwa lengo lilelile la kukuhabarisha masuapa mbalimbali kuhusu mkoa wa katavi na duniani kwa ujumla....naamini msomaji utaifurahia blog hii na kuiona ya manufaa.....Aidha,  katika kuboresha upashanaji na upatikanaj habar basi mtu yeyote anayeweza kushiriki kutupia habari humu anakaribishwa...nitumie email adress yako katika nyambalatheman@gmail.com au katika nyambalamartin@yahoo.com...NYOTE MNAKARIBISHWA NA KATAVI NA TANZANIA NI YETU SOTE.


Posted via Blogaway

Sunday, June 9, 2013

TUPIA SWALI LOLOTE KUHUSU MUZIKI WA KIAFRIKA HAPA

Kwa habari za MUZIKI wa ki-AFRICA,Wanamuziki,Bendi zao,Historia zao na Maisha Yao kwa ujumla tembelea blog yetu...Acha swali linaLOmhusu Mwanamuziki Yeyote hapa Tanzania,DRC - Congo,Congo Republic na kwingineko Duniani.....!!!!!!!!!!!!!